Recent News and Updates

Serikali ya Tanzania imekabidhi tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Msumbiji

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha.Msaada huo umekabidhiwa Machi… Read More

Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe CP Hamad Khamis Hamad atembelea Jimbo la Sofala

Tarehe 11 Machi, 2026 Mjini Beira Jimbo la Sofala, Msumbiji, kilifanyika kikao baina ya Gavana wa Jimbo la Sofala, Mhe Lourenço Bulha na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. CP. Hamad Khamis Hamad, kwa… Read More

Mhe. CP. Hamad K. Hamad atembembelea Jimbo la Nampula

Tarehe 5 Machi 2026, Mhe. CP.  Hamad K. Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Nampula.Lengo la ziara hiyo ni kufanya majadiliano ya kitaalamu, kubaini… Read More

Mheshimiwa Balozi ahudhuria Mkutano wa Mawaziri wa Biashara wa Umoja wa Afrika Jijini Maputo

Tarehe 25-26 Februari, 2026, jijini Maputo, Msumbiji, Mheshimiwa CP. Hamadi Khamis Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji ameiwakilisha Tanzania kwenye Mkutano wa Biashara wa Umoja wa Afrika ikiwa ni… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Mozambique

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Mozambique