News and Events Change View → Listing

Mhe. CP. Hamad K. Hamad, akutana na Mhe. Joaquim A. Chissano

Tarehe 15 Septemba 2025, Mhe. Hamad K. Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Joaquim A. Chissano, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Msumbiji.Lengo la…

Read More

Makamu wa Rais ashiriki Mkutano wa 45 wa SADC nchini Madagascar

Tarehe 17 Agosti 2025 Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshiriki Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi na Serikali ambao ni Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini…

Read More

Ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji waadhimisha siku ya Kiswahili Duniani tarehe 7 Julai 2025

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji uliadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani tarehe 7 Julai 2025. Tukio hilo lilihudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wanadiplomasia, viongozi wa Serikali…

Read More

Mhe. Balozi CP Hamad Khamis Hamad amekutana na Bi. Linah Clifford, Afisa wa Masuala ya Kisheria na Ushirikiano na Bw. Allan Mashalla

Mhe. Balozi CP Hamad Khamis Hamad amekutana na Bi. Linah Clifford, Afisa wa Masuala ya Kisheria na Ushirikiano na Bw. Allan Mashalla - Meneja wa Mradikutoka Shirika la Kimataifa la TRAFFIC International Afrika…

Read More

Mhe. CP Hamad K. Hamad, Balozi wa Tanzania - Msumbiji, amekutana na Balozi wa Morocco, Mhe. Abdelali Rahali.

Mhe. CP Hamad K. Hamad, Balozi wa Tanzania - Msumbiji, amekutana na Balozi wa Morocco, Mhe. Abdelali Rahali.Mbali ya Mhe. Balozi Hamad kujitambulisha, alikubaliana na Mhe. Balozi Rahali kufanya naye kazi kwa…

Read More

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali J.J. Mkunda amefanya Ziara ya Kikazi nchini Msumbiji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania atembelea Msumbiji. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali J.J. Mkunda amefanya Ziara ya Kikazi nchini Msumbiji kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, 2024. Wakati wa…

Read More

Mhe. Phaustine M. Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Maputo amekutana na Mhe. Alcinda António de Abreu, Mjumbe wa Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO.

Leo tarehe 20 Mei 2024, Mhe. Phaustine M. Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Maputo amekutana na Mhe. Alcinda António de Abreu, Mjumbe wa  Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO.Kupitia…

Read More

Balozi Mhe. Kasike akutana na Balozi Mhe. Ndamage Donat wa Rwanda

Tarehe 02 Aprili 2024, Mhe. Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Msumbiji alitembelewa na Mhe. Ndamage Donat,   Balozi wa Jamhuri ya Rwanda - Msumbiji.Mhe. Balozi Donate alifika…

Read More