News and Resources Change View → Listing

Mhe. CP Hamad K. Hamad, Balozi wa Tanzania - Msumbiji, amekutana na Balozi wa Morocco, Mhe. Abdelali Rahali.

Mhe. CP Hamad K. Hamad, Balozi wa Tanzania - Msumbiji, amekutana na Balozi wa Morocco, Mhe. Abdelali Rahali.Mbali ya Mhe. Balozi Hamad kujitambulisha, alikubaliana na Mhe. Balozi Rahali kufanya naye kazi kwa…

Read More

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali J.J. Mkunda amefanya Ziara ya Kikazi nchini Msumbiji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania atembelea Msumbiji. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali J.J. Mkunda amefanya Ziara ya Kikazi nchini Msumbiji kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, 2024. Wakati wa…

Read More

Mhe. Phaustine M. Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Maputo amekutana na Mhe. Alcinda António de Abreu, Mjumbe wa Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO.

Leo tarehe 20 Mei 2024, Mhe. Phaustine M. Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Maputo amekutana na Mhe. Alcinda António de Abreu, Mjumbe wa  Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO.Kupitia…

Read More

Balozi Mhe. Kasike akutana na Balozi Mhe. Ndamage Donat wa Rwanda

Tarehe 02 Aprili 2024, Mhe. Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Msumbiji alitembelewa na Mhe. Ndamage Donat,   Balozi wa Jamhuri ya Rwanda - Msumbiji.Mhe. Balozi Donate alifika…

Read More

Mhe. Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, amekutana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Eduardo Mondlane

Mhe. Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, amekutana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Eduardo Mondlane Cha Msumbiji ulioongozwa na Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Doutor Manuel…

Read More

Global Tourism Body certifies Tanzania a safe zone for travellers

The World Travel and Tourism Council (WTTC) cleared Tanzania as a safe zone for travel following the coronavirus pandemic.WTTC noted that the clearance is an indication that Tanzania has rightly implemented…

Read More